Fanya haya kuyaokoa macho yako na athari za matumizi ya muda mrefu ya kompyuta

January 5, 2021 6:11 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Matumizi ya kompyuta yamekuwa makubwa kadri sayansi na teknolojia inavyozidi kukua.
  • Kwa watu ambao wanafanya kazi kwa muda mrefu kwenye kompyuta, huenda wamekutana na changamoto mbalimbali iwemo kichwa kuuma.
  • Kuzuia changamoto hiyo inayosababishwa na kuchoka kwa macho, unashauriwa kupunguza muda wako katika skrini ya kompyuta yako.

Dar es Salaam. Kwa jinsi teknolojia inavyozidi kukua, matumizi ya bidhaa za kielektroniki zikiwemo simu, televisheni na kompyuta hayaepukiki.

Mathalani matumizi ya kompyuta yanatumika kama kigezo cha waajiri pale wanapotafuta wafanyakazi katika nyanja mbalimbali. Hilo limesababisha baadhi ya watu wakiwemo wasanifu kurasa na picha (graphics designers) na wahandisi programu kutumia muda mrefu katika kompyuta zao jambo linaloambatana na madhara mbalimbali ikiwemo kuchoka kwa kiungo hicho muhimu kwa kuona.

Kwa mujibu wa tovuti ya afya ya Mayo Clinc, kuchoka kwa macho husababishwa na matumizi ya skrini kwa muda mrefu bila kupumzika ikiwemo katika harakati za kufanya kazi na hata burudani.

Ili kuepukana na tatizo hilo ambalo husababisha kuuma kwa kichwa na kuona maruerue, inashauriwa kuyapatia macho yako wasaa wa kuangalia vitu vingine mbali na kompyuta ama kutumia miwani maalumu ya kompyuta.

Unahitaji kufahamu njia zingine rahisi? Tazama video hii kujifunza.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV