Dondoo muhimu kukitunza choo nyumbani

December 22, 2020 10:08 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamojana kuhakkikisha uwepo wa maji muda wote.
  • Usafi wa chooni ufanyike walau mara mbili kwa siku.

Dar es Salaam. Msemo wa nyumba ni choo una maana pana kuliko inavyodhaniwa na baadhi ya watu. 

Choo kikiwa kichafu na kisichokidhi viwango vya ubora na usafi kinaweza kusababisha madhara mengi ya kiafya na kiuchumi kwa wanafamilia. Changamoto zingine ni harufu mbaya na wadudu kama nzi nyumbani.

Unawezaje kukitunza choo chako kuepukana na changamoto hizo? Tazama video hii kujifunza.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV

Rais Samia: Anzisheni mfuko  kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Rais Samia: Anzisheni mfuko kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV