Dondoo muhimu kukitunza choo nyumbani
December 22, 2020 10:08 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamojana kuhakkikisha uwepo wa maji muda wote.
- Usafi wa chooni ufanyike walau mara mbili kwa siku.
Dar es Salaam. Msemo wa nyumba ni choo una maana pana kuliko inavyodhaniwa na baadhi ya watu.
Choo kikiwa kichafu na kisichokidhi viwango vya ubora na usafi kinaweza kusababisha madhara mengi ya kiafya na kiuchumi kwa wanafamilia. Changamoto zingine ni harufu mbaya na wadudu kama nzi nyumbani.
Unawezaje kukitunza choo chako kuepukana na changamoto hizo? Tazama video hii kujifunza.
Latest
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028