Dondoo muhimu kukitunza choo nyumbani

December 22, 2020 10:08 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamojana kuhakkikisha uwepo wa maji muda wote.
  • Usafi wa chooni ufanyike walau mara mbili kwa siku.

Dar es Salaam. Msemo wa nyumba ni choo una maana pana kuliko inavyodhaniwa na baadhi ya watu. 

Choo kikiwa kichafu na kisichokidhi viwango vya ubora na usafi kinaweza kusababisha madhara mengi ya kiafya na kiuchumi kwa wanafamilia. Changamoto zingine ni harufu mbaya na wadudu kama nzi nyumbani.

Unawezaje kukitunza choo chako kuepukana na changamoto hizo? Tazama video hii kujifunza.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV