Dondoo muhimu kukitunza choo nyumbani
December 22, 2020 10:08 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamojana kuhakkikisha uwepo wa maji muda wote.
- Usafi wa chooni ufanyike walau mara mbili kwa siku.
Dar es Salaam. Msemo wa nyumba ni choo una maana pana kuliko inavyodhaniwa na baadhi ya watu.
Choo kikiwa kichafu na kisichokidhi viwango vya ubora na usafi kinaweza kusababisha madhara mengi ya kiafya na kiuchumi kwa wanafamilia. Changamoto zingine ni harufu mbaya na wadudu kama nzi nyumbani.
Unawezaje kukitunza choo chako kuepukana na changamoto hizo? Tazama video hii kujifunza.
Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii