CHATI YA SIKU: Taka za majumbani zachangia ongezeko la uchafu Dar

January 8, 2020 3:43 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Uzalishaji wa taka katika jiji hilo umeongezeka zaidi ya mara pili kati ya mwaka 1998 na 2017.
  • Inakadiriwa kuwa hadi kufikia mwaka 2025, jiji hilo litakuwa linazalisha tani 12,000 za taka kwa siku.

Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayokuwa kwa kasi sana huku uzalishaji wa taka nao ukiongezeka zaidi ya mara mbili ya ule uliokuwepo mwaka 1998.

Kwa mujibu wa ripoti ya Takwimu za Taifa za Mazingira ya mwaka 2017 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Hadi kufika mwaka 2017 uzalishaji wa taka katika jiji hilo ulifikia takribani tani 4,600 kwa siku huku asilimia 75 ya taka hizo zikizalishwa majumbani.

Inakadiriwa kuwa hadi kufikia mwaka 2025, jiji hilo litakuwa linazalisha tani 12,000 za taka kwa siku.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV