Bajeti Kuu Tanzania yapaa miaka minne mfululizo

June 10, 2020 2:50 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakisubiri kwa hamu kusikia mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2020/21, bajeti hiyo imekuwa ikiongezeka kila mwaka tangu mwaka wa fedha wa 2016/17. 

Pia ni bajeti mwisho katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya uongozi wa Rais John Mgufuli tangu alipoingia madarakani mwishoni mwaka 2015.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW