Athari za Uviko-19 katika sekta ya utalii Zanzibar
August 24, 2021 9:07 am ·
Herimina
Dar es salaam. Kama ilivyo kwa sekta nyingine zilizoathiriwa na Corona (Uviko-19), pia sekta ya utalii visiwani Zanzibar ilipata mtikisiko licha ya kuwa imeanza kuimarika tena.
Athari zaidi zilidhihirika robo ya kwanza na ya pili ya mwaka 2020 ambapo Uviko-19 ulikuwa umeingia Tanzania ambapo shughuli nyingi za utalii ikiwemo hoteli zilifungwa.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
7 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
8 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →8 Jun, 2026