Athari za Uviko-19 katika sekta ya utalii Zanzibar
August 24, 2021 9:07 am ยท
Herimina
Dar es salaam. Kama ilivyo kwa sekta nyingine zilizoathiriwa na Corona (Uviko-19), pia sekta ya utalii visiwani Zanzibar ilipata mtikisiko licha ya kuwa imeanza kuimarika tena.
Athari zaidi zilidhihirika robo ya kwanza na ya pili ya mwaka 2020 ambapo Uviko-19 ulikuwa umeingia Tanzania ambapo shughuli nyingi za utalii ikiwemo hoteli zilifungwa.

Latest
7 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
