Athari za Uviko-19 katika sekta ya utalii Zanzibar

August 24, 2021 9:07 am ยท Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Kama ilivyo kwa sekta nyingine zilizoathiriwa na Corona (Uviko-19), pia sekta ya utalii visiwani Zanzibar ilipata mtikisiko licha ya kuwa imeanza kuimarika tena.

Athari zaidi zilidhihirika robo ya kwanza na ya pili ya mwaka 2020 ambapo Uviko-19 ulikuwa umeingia Tanzania ambapo shughuli nyingi za utalii ikiwemo hoteli zilifungwa.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW