Sekta ya utalii yaanza kuimarika Zanzibar

August 25, 2021 6:21 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Sekta ya utalii visiwani Zanzibar imeanza kuimarika tena baada ya kuathiriwa na janga la Uviko-19.

 Kwa mujibu wa ripoti ya 16 ya hali ya uchumi wa Tanzania mwaka 2021 ya Benki ya Dunia, sekta hiyo ilianza kuimarika taratibu katika robo ya nne ya mwaka 2020.

Kufikia Desemba mwaka 2020, watalii waliongia Zanzibar walikuwa takriban asilimia 80 ya wale walioingia 2019. Licha ya uimarikaji huo, ripoti inaainisha kuwa mapato yatokanayo na utalii yalishuka kwa asilimia 38 mwaka 2020.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
26 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
26 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV