Athari za muda mrefu za Uviko-19 kwa watoto

February 19, 2023 5:49 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Watu wengi wanaopata Uviko-10 watakuwa na dalili kwa muda mfupi ndipo watapona katika wiki chache. Muda wa kupona hotofautian kwa kila mtu. Inategemea jinsi ulivyoshambuliwa na ugonjwa huo na kama una ugonjwa mwingine mwilini. 

Baadhi ya watu wanapata matatizo ya afya ya muda mrefu baada ya kuugua na Uviko-19. Wakati mwingine ugonjwa huo husababisha mtu kujisikia mgonjwa kwa miezi mingi baada ya kuumwa mwanzoni. Hii inaitwa ‘Longcovid’. 

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), aina hii ya Uviko-19 inaweza kudumu kwa wiki nyingi na miezi mingi, hata baada ya mtu kutokuwa na virusi tena. Hata watu waliokuwa na maambukizi madogo ya Uviko-19 na kuhitaji kwenda hospitalini wanaweza bado kuwa na Uviko-19 wa muda mrefu.

Kwa watoto na vijana, dalili kama uchovu, hofu na kutoa harufu kali zinaweza kujitokeza. Muhimu ni kumpeleka mtoto hospitali ili akafanyiwe uchunguzi.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

Nukta TV

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

Nukta TV

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.