Athari za muda mrefu za Uviko-19 kwa watoto

February 19, 2023 5:49 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Watu wengi wanaopata Uviko-10 watakuwa na dalili kwa muda mfupi ndipo watapona katika wiki chache. Muda wa kupona hotofautian kwa kila mtu. Inategemea jinsi ulivyoshambuliwa na ugonjwa huo na kama una ugonjwa mwingine mwilini. 

Baadhi ya watu wanapata matatizo ya afya ya muda mrefu baada ya kuugua na Uviko-19. Wakati mwingine ugonjwa huo husababisha mtu kujisikia mgonjwa kwa miezi mingi baada ya kuumwa mwanzoni. Hii inaitwa ‘Longcovid’. 

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), aina hii ya Uviko-19 inaweza kudumu kwa wiki nyingi na miezi mingi, hata baada ya mtu kutokuwa na virusi tena. Hata watu waliokuwa na maambukizi madogo ya Uviko-19 na kuhitaji kwenda hospitalini wanaweza bado kuwa na Uviko-19 wa muda mrefu.

Kwa watoto na vijana, dalili kama uchovu, hofu na kutoa harufu kali zinaweza kujitokeza. Muhimu ni kumpeleka mtoto hospitali ili akafanyiwe uchunguzi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV