Pauni ya Uingereza yaimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania

September 16, 2026 9:08 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Pauni ilikuwa karibu dola 1.3478, kiwango ambacho si mbali na bei yake ya chini ya wiki sita iliyofikiwa Jumatatu ya wiki hii.

Dar es Salaam. Viwango vya pauni ya Uingereza vimeonyesha mabadiliko tofauti katika benki za CRDB na NMB, huku CRDB ikipunguza kidogo bei zake na NMB kuongeza leo Septemba 16, 2026.

CRDB imenunua pauni moja kwa Sh3,417.17 na kuiuza kwa Sh3,717.17, kutoka Sh3,418.01 na Sh3,718.01 iliyotumika jana Jumanne. NMB, kwa upande wake, imenunua pauni kwa Sh3,355 na kuuza kwa Sh3,709, ikilinganishwa na Sh3,351 na Sh3,705.

Mabadiliko hayo yanakuja wakati pauni ikiwa chini ya shinikizo katika masoko ya kimataifa, huku dola ya Marekani ikiendelea kupata nguvu kutokana na matarajio ya ongezeko la viwango vya riba na uamuzi unaotarajiwa wa Benki Kuu ya Marekani (Fed).

Kwa mujibu Shirika la Kimataifa la Habari la Reuters pauni ilikuwa karibu dola 1.3478, kiwango ambacho si mbali na bei yake ya chini ya wiki sita iliyofikiwa Jumatatu ya wiki hii. Wakati huohuo, wafanyabiashara wanatazamia pia uamuzi wa Benki ya England kuhusu viwango vya riba.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Nyumba nafuu Dar zinavyowasukuma wakazi kwenye maeneo hatarishi

Nyumba nafuu Dar zinavyowasukuma wakazi kwenye maeneo hatarishi

Nukta TV

Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Nukta TV

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Nukta TV