Euro yaendelea kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania

July 17, 2026 11:49 am · Method Allen
Share
Tweet
Copy Link
  • Ongezeko la thamani ya Euro linatokana na uhitaji mkubwa wa sarafu hiyo katika soko la fedha za kigeni

Dar es salaam. Sarafu ya nchi za Umoja wa Ulaya (Euro) imeendelea kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania, kwa mujibu wa takwimu za soko la ubadilishaji wa fedha zilizotolewa leo Julai 17, 2026 

Takwimu zilizotolewa na benki za kibiashara za CRDB na NMB  zinaonesha ongezeko la thamani ya Euro ikiwa ni tofauti na bei iliyotumika siku ya jana 

Kupitia benki ya CRDB, Euro leo imenunuliwa kwa Sh2,864.44, kutoka Sh2,859.95 iliyonunulia jana sawa na ongezeko la Sh4.49

Bei ya kuuza nayo imepaa kwa Sh7.49 kutoka Sh3,156.95 iliyotumika jana hadi Sh3,164.44 inayotumika leo.

 Kwa upande wa Benki ya NMB, Euro leo imenunuliwa kwa Sh2,880, kutoka Sh2,872 ya jana, na bei ya kuuza nayo imepanda kutoka Sh3,145 hadi Sh3,152.

Ongezeko la thamani ya Euro linatokana na uhitaji mkubwa wa sarafu hiyo katika soko la fedha za kigeni, hali inayopelekea wafanyabiashara wanaotumia Euro katika miamala yao ya kila siku kunufaika zaidi kwa kupata shilingi nyingi na kuingiza mpunga wa kutosha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
17 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Msemaji Geita: Vijana msikurupuke kuja Katoro

Msemaji Geita: Vijana msikurupuke kuja Katoro

Nukta TV

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV