Viwango vya kubadili fedha Februari 24, 2025

February 24, 2025 10:13 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Dola ya Marekani imezidi kuimarika kwa Sh5 katika soko la rejareja kulinganisha na wiki iliyopita. Katika benki ya NMB Dola inanunuliwa kwa Sh2,545 na kuuzwa kwa Sh2,645 na benki ya CRDB Dola inauzwa kwa Sh2,544 na kununuliwa kwa 2,640.

Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Februari 24, 2025.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV