Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania
November 26, 2024 12:14 pm ยท
Davis Matambo
Thamani ya shilingi ya Tanzania inaendelea kuimarika dhidi ya dola ya Marekani, bei ya kununua imeshuka kwa Sh7.32 sambamba na bei ya kuuza Sh7.39 kutoka jana.
Hatah ivyo thamani ya shilingi ya Tanzania imeshuka dhidi ya Euro ambayo bei ya kununua imepanda kwa Sh10.7, wakati ya kuuza ikipanda kwa Sh10.81 kwa viwango vya Benki Kuu.
Bei ya kununua dhahabu imeshuka kwa Sh65,240 kutoka Sh7,089,746 iliyokuwa sokoni jana na kuuzwa Sh7,024,506 inayotumika leo.

Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย