Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba 8, 2024
October 8, 2024 9:29 am ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya Marekani leo imepanda kwa senti 1.38 kutoka 2732.59 iliyokuwepo Oktoba 7 mwaka huu mpaka 2,733.97 inayouzwa hii leo.
Viwango hivi, vinabadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.