Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba 8, 2024

October 8, 2024 9:29 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya Marekani leo imepanda kwa senti 1.38 kutoka 2732.59 iliyokuwepo Oktoba 7 mwaka huu mpaka 2,733.97 inayouzwa hii leo.

Viwango hivi, vinabadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Enable Notifications OK No thanks