Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
October 4, 2024 8:00 pm ·
Yuster Massawe

Dar es Salaam leo ndio wananunua maharage kwa bei ya juu zaidi Tanzania, wakinunua kilo moja kwa Sh3,900 sawa na Sh 390,000 kwa gunia la kilo 100, huku wakazi wa Kigoma wao wakila bata ambapo kwa kilo moja hiyo hiyo ya maharage wao wananunua Sh 1,500 sawa na Sh 150,000 kwa gunia la kilo 100.
Maharage ni mboga pendwa kwa watu wenye kipato cha kati na chini ambayo hutumika kusindikiza mlo kama ubwabwa, chapati au ugali.
Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS
18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 19, 2026
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Sh25.8 bilioni kusambaza nishati safi ya kupikia taasisi 453 Tanzania Bara
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Maadhimisho ya siku ya wanawake Tanzania 2026 kupambwa na vazi la batiki