Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam

October 4, 2024 8:00 pm · Yuster Massawe
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam leo ndio wananunua maharage kwa bei ya juu zaidi Tanzania, wakinunua kilo moja kwa Sh3,900 sawa na Sh 390,000 kwa gunia la kilo 100, huku wakazi wa Kigoma wao wakila bata ambapo kwa kilo moja hiyo hiyo ya maharage wao wananunua Sh 1,500 sawa na Sh 150,000 kwa gunia la kilo 100.

Maharage ni mboga pendwa kwa watu wenye kipato cha kati na chini ambayo hutumika kusindikiza mlo kama ubwabwa, chapati au ugali.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Nukta TV

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Nukta TV

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Nukta TV