Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
October 4, 2024 8:00 pm ·
Yuster Massawe

Dar es Salaam leo ndio wananunua maharage kwa bei ya juu zaidi Tanzania, wakinunua kilo moja kwa Sh3,900 sawa na Sh 390,000 kwa gunia la kilo 100, huku wakazi wa Kigoma wao wakila bata ambapo kwa kilo moja hiyo hiyo ya maharage wao wananunua Sh 1,500 sawa na Sh 150,000 kwa gunia la kilo 100.
Maharage ni mboga pendwa kwa watu wenye kipato cha kati na chini ambayo hutumika kusindikiza mlo kama ubwabwa, chapati au ugali.
Latest
17 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028
19 hours ago
·
Lucy Samson
Tume: Watu 518 walipoteza maisha vurugu Uchaguzi Mkuu 2025
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Sekta 5 zilizoongoza kwa faida, uwekezaji wa kigeni (FI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Aprili 23, 2026