Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
October 4, 2024 8:00 pm ·
Yuster Massawe

Dar es Salaam leo ndio wananunua maharage kwa bei ya juu zaidi Tanzania, wakinunua kilo moja kwa Sh3,900 sawa na Sh 390,000 kwa gunia la kilo 100, huku wakazi wa Kigoma wao wakila bata ambapo kwa kilo moja hiyo hiyo ya maharage wao wananunua Sh 1,500 sawa na Sh 150,000 kwa gunia la kilo 100.
Maharage ni mboga pendwa kwa watu wenye kipato cha kati na chini ambayo hutumika kusindikiza mlo kama ubwabwa, chapati au ugali.
Latest
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu: Kutangaza idadi ya vifo ni kutonesha vidonda vya Watanzania
11 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake bado kitendawili duniani
18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Novemba 25, 2025
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Fedha za sherehe ya uhuru kukarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29