Vyakula vinavyowafaa wanaosumbuliwa na vidonda vya tumbo

January 11, 2021 9:54 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na matunda na mboga za majani.
  • Bado unashauriwa kumuona daktari ili upate maelekezo sahihi zaidi.

Dar es Salaam. Vindonda vya tumbo (Ulcers) ni changamoto ya kiafya ambayo husababishwa na mambo mengi ikiwemo aina ya vyakula na baadhi ya dawa zinazotumiwa na watu mara kwa mara.

Matahalan, kwa mtu anayetumia pilipili, baadhi ya vinywaji kama kahawa bila ulinganifu, yupo katika hatari ya kusumbuliwa na ugonjwa huu.

Kwa mujibu wa Kathryn Watson anayeandikia tovuti ya afya ya Healthline, baadhi ya vyakula vinavyoweza kumsababishia mtu kupata vidonda vya tumbo ni pamoja na vyakula vilivyoshamiri viungo (spices), matumizi ya vyakula vya jamii ya malimao (citrous), pilipili na matumizi ya baadhi ya dawa zikiwemo ‘aspirin’ na ‘ibuprofen’.

Kwa mazingira ya Kitanzania, vyakula gani vitamsaidia mtu aliye na vidonda vya tumbo? Tazama video hii kujifunza:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
20 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
20 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wakazi wa mabondeni Dar walivyojiandaa kukabiliana na ‘El Nino’

Wakazi wa mabondeni Dar walivyojiandaa kukabiliana na ‘El Nino’

Nukta TV

Wakazi Kigogo wahofia ‘El Niño’, walia mchepuo wa daraja uondolewe

Wakazi Kigogo wahofia ‘El Niño’, walia mchepuo wa daraja uondolewe

Nukta TV

Ufahamu 'BIPOLAR' Part 2 | Ugonjwa wa afya ya akili unaoweza kupelekea kifo

Ufahamu 'BIPOLAR' Part 2 | Ugonjwa wa afya ya akili unaoweza kupelekea kifo

Nukta TV