Jinsi ya kunyoa nywele za sehemu za siri kwa usahihi

May 29, 2021 8:05 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Kunyoa nywele za sehemu za siri siyo lazima, ni chaguo la mtu binafsi.
  • Safisha zana unayotumia na kujua ueleekeo wa ukuaji wa nywele.

Dar es Salaam. Baadhi ya watu hulalamika kuwa na vipele, muwasho katika sehemu za siri na ni ukweli usiopingika kuwa baadhi yao hupata changamoto hiyo baada ya kushindwa kunyoa nywele za sehemu za siri kwa ufasaha pale zinapokuwa zimerefuka.

Kushindwa kukata nywele hizo kwa usahihi kunaweza kusababisha maambukizi ya magonjwa ikiwemo magonjwa ya ngozi na fangasi.

Kwa kawaida, kunyoa nywele za sehemu za siri inahitaji zana sahihi ya kunyolea na huduma ya ngozi yako baada ya kumaliza.

Hata hivyo, mtaalamu wa afya Dk Joshua Sultan amesema suala la kunyoa sehemu za siri ni suala binafsi na kila mtu ana mapendeleo yake.

“Baadhi hupendelea kufuga na kuziacha zikue sana na baadhi hupendelea kimo kifupi na wengine huondoa kabisa. Kuziondoa kabisa huweza kupelekea msuguano na uwezekano wa vijidudu na uchafu kuingia kwa urahisi zaidi,” ameandika Daktari huyo katika ukurasa wake wa Twitter.

Je, kama wewe umechagua kunyoa nywele hizo, uzingatie nini ili kuepukana na adha za kiafya zinazoweza kutokea? Tazama video hii kujifunza.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV