CHATI YA SIKU: Taka za majumbani zachangia ongezeko la uchafu Dar
January 8, 2020 3:43 am ·
Mwandishi
- Uzalishaji wa taka katika jiji hilo umeongezeka zaidi ya mara pili kati ya mwaka 1998 na 2017.
- Inakadiriwa kuwa hadi kufikia mwaka 2025, jiji hilo litakuwa linazalisha tani 12,000 za taka kwa siku.
Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayokuwa kwa kasi sana huku uzalishaji wa taka nao ukiongezeka zaidi ya mara mbili ya ule uliokuwepo mwaka 1998.
Kwa mujibu wa ripoti ya Takwimu za Taifa za Mazingira ya mwaka 2017 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Hadi kufika mwaka 2017 uzalishaji wa taka katika jiji hilo ulifikia takribani tani 4,600 kwa siku huku asilimia 75 ya taka hizo zikizalishwa majumbani.
Inakadiriwa kuwa hadi kufikia mwaka 2025, jiji hilo litakuwa linazalisha tani 12,000 za taka kwa siku.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026