Vipi, tukuletee Konyagi ama Chibuku?

January 23, 2020 12:45 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ukiachana na bia, vilevi vingine vinavyozalishwa kwa wingi viwandani #Tanzania ni Konyagi na Chibuku. Takwimu rasmi zinaonyesha bia lita 412.6 milioni zilizalishwa mwaka 2018 zikifuatiwa na Konyagi.

Uzalishaji wa bia mwaka huo, kwa mujibu wa Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka 2018, ulikuwa ni mara nane zaidi ya lit azote za Konyagi na Chibuku. Chibuku ni moja vilevi vya kiwandani vyenye bei nafuu nchini wakati Konyagi ikisifika kwa kuwa kilevi imara zaidi.

Ukiachana na bia, ambazo zinatengenezwa na kampuni mbalimbali, iwapo utaangalia takwimu hizo kwa kina mwenendo katika baadhi ya miaka mitano iliyopita, Konyagi na Chibuku ni kama zilikuwa zinachuana katika kiwango cha uzalishaji.

Ikumbukwe kuwa vinywaji vyote hivyo viwili vinatoka katika familia moja ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Nukta TV

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Nukta TV

Jinsi waajiri wanavyokimbilia 'Interns' kukwepa ajira za kudumu

Jinsi waajiri wanavyokimbilia 'Interns' kukwepa ajira za kudumu

Nukta TV