Fursa zilizojificha matumizi ya intaneti Tanzania

February 10, 2020 1:19 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Matumizi ya intaneti yanazidi kuongezeka kila mwaka Tanzania na kufungua fursa mbalimbali za mtandaoni ambazo zikitumiwa vizuri zinawaweza kuboresha maisha ya jamii na watu wake. 

Kwa mujibu takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) za mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa intaneti imefikia milioni 23.1 mwaka juzi kutoka watumiaji wapatao milioni 9.3 waliokuwepo mwaka 2013 ikiwa ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi hicho. 

Fursa zinazoambatana na matumizi sahihi hasa kwa vijana ni pamoja na ukuaji wa biashara ya mtandaoni, kurahisisha mawasiliano na utunzaji wa vitu mtandaoni.

​ 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV