Bajeti Kuu Tanzania yapaa miaka minne mfululizo
June 10, 2020 2:50 pm ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakisubiri kwa hamu kusikia mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2020/21, bajeti hiyo imekuwa ikiongezeka kila mwaka tangu mwaka wa fedha wa 2016/17.
Pia ni bajeti mwisho katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya uongozi wa Rais John Mgufuli tangu alipoingia madarakani mwishoni mwaka 2015.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
