Jinsi ya kuifunga akaunti yako ya Instagram kwa muda

September 9, 2020 11:47 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Hakikisha unakumbuka nenosiri na jina lako (user name) kabla ya kufuta akaunti yako.
  • Hatua hii inaweza kuwa faida kwa wale wanaotaka kuweka umakini kwenye mambo mengine na kuondokana na uteja wa mitandao ya kijamii.

Dar es Salaam. Mitandao ya kijamii inaweza kuwa chanzo cha matatizo mengi katika maisha yako kama hautaidhibiti wakati wa kutumia ili kupata muda wa kufanya shughuli za maendeleo. 

Ikiwa wewe ni miongoni mwa watu ambao unataka kujiweka kando na mtandao wa Instagram kwa muda, zipo dondoo zinazoweza kukusaidia kuifunga akaunti yako.

Nukta (www.nukta.co.tz) inakuletea hatua kwa hatua jinsi ya kuipumzisha (disable) akaunti yako ya Instagram endapo utahitaji kujielekeza katika shughuli nyingine.

Uzuri ni kwamba, akaunti yako itabaki kwenye kificho kwa muda wote utakaokuwa umeipumzisha na unaweza kuipata pale utakapoihitaji. 

Hata hivyo, utahitaji kukumbuka neno la siri na jina (user name) au anuani ya barua pepe kabla ya kuifunga akaunti yako. 

Tazama video hii kupata uelewa zaidi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
28 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
28 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Nukta TV

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Nukta TV

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

Nukta TV