Zaidi ya nusu ya wagonjwa wa Corona wapona Afrika

December 5, 2020 7:18 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati wagonjwa wa Corona wakiendelea kuongezeka Afrika, takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinazonyesha kuwa zaidi ya nusu ya wagonjwa wanaopata COVID-19 wamepona barani humo. 

Takwimu za WHO za Desemba 4, 2020, zinaonyesha watu waliopona COVID-19 barani humo ni milioni 1.8 kati ya wagonjwa milioni 2.3 walioripotiwa kupata maambukizi. 

Hata hivyo, nchi ya Afrika Kusini imeendelea kurekodi kiwango cha juu cha wagonjwa wa COVID-19 barani humo. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV