Shule 10 bora kidato cha nne mwaka 2020 hizi hapa

January 15, 2021 2:08 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Shule ya Wasichana ya St Francis ya mkoani Mbeya imeshika nafasi ya kwanza kitaifa.
  • Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani yaingiza shule tatu kila moja. 

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato nne mwaka 2020 na kuzitaja shule 10 zilizofanya vizuri huku Shule ya Wasichana ya St Francis ya mkoani Mbeya ikishika nafasi ya kwanza kitaifa.

St. Francis imepanda kutoka nafasi ya pili iliyoshika mwaka juzi na kuishusha Shule ya Sekondari ya Kemebos ya mkoani Kagera hadi nafsi ya nne.  

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa  leo (Januaria 15, 2021), Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amezitaja shule nyingine zilizofanya vizuri zaidi katika matokeo hayo kuwa ni  Iliboru ya mkoani Arusha, Cannosa (Dar es Salaam), Kemebos (Kagera) na  Feza Boys ya jijini Dar es Salaam.

Nyigine ni Ahmes, St Aloysius Girls, Marian Boys (Pwani) na St. Augustine Tagaste ya jijini  Dar es Salaam. 


Soma zaidi: 


Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam imefanikiwa kuingiza shule tatu kila moja katika orodha hiyo ya dhahabu, huku

Katika orodha hiyo, Serikali imefanikiwa kuingiza shule moja tu ya Ilboru huku zilizobaki zikiwa ni shule binafsi. 

Kupata matokeo ingia hapa >>>>> https://bit.ly/2XIyOu0

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
NISHATI

NISHATI

Nukta TV

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Nukta TV

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Nukta TV