Mambo ya kufahamu kuhusu chanjo ya Covid-19

January 22, 2021 10:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mengi yanazungumziwa kuhusu chanjo ya Covid-19 yakiwemo muda ambao umetumika katika kutengeneza chanjo hiyo ikilinganishwa na chanjo ya magojwa mengine yanayosababishwa na virusi ukiwemo Ukimwi.

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa chanjo ya Covid-19 inayoendelea kutolewa katika baadhi ya nchi duniani inaambatana na masharti kwa kuwa chanjo hiyo haiwezi kumfaa kila mtu.

Katika andiko la WHO linalozungumzia namna chanjo hiyo inavyofanya kazi, shirika hilo limesema chanjo hiyo isitolewe kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi na wale wenye saratani.

Hata hivyo, watu hao bado wanaweza kubaki salama pale watakapoishi miongoni mwa jamii iliyopewa chanjo.

Jifunze zaidi kwa kutazama video hii.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
31 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
31 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV