Unavyoweza kuepuka magonjwa ya ngozi
February 15, 2021 10:41 am ·
Rodgers Raphael
- Ni kwa kuepuka kuchangia nguo kwani yapo magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine.
- Pia unatakiwa kunywa maji ili kuipatia afya nzuri ngozi yako.
Dar es Salaam. Magonjwa ya ngozi huja kwa namna nyingi na hutofautiana kati ya mtu na mtu. Wapo ambao hupata muwasho, wapo ambao ngozi hubanduka na wapo wapatao mba.
Magonjwa hayo husababishwa na mengi lakini mara nyingi huwa ni mtindo maisha, lishe, mzio na kuambukizwa na wengine.
Mfano, kwa mtindo maisha, wapo watu ambao hushindwa kujikausha vyema wanapomaliza kuoga hasa sehemu za miguuni na sehemu za siri na hivyo kuishia kupata fangasi katika maeneo hayo.
Ili kuepukana na tatizo hilo katika ngozi yako, unaweza kuangazia baadhi ya suluhu hizi:
Unataka kuwa na ngozi yenye afya bora? Achana na hizi tabia ikiwemo kuvaa nguo za mtu mwingine.#NuktaVideoYaSiku
pic.twitter.com/nbd3tg9wFL— Nukta Tanzania (@NuktaTanzania) February 15, 2021
Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia atoa maelekezo kwa mahakama ataka maboresho zaidi katika utoaji haki

2 days ago
·
Lucy Samson
Noti 22 za fedha kusitishiwa matumizi kuanzia leo Tanzania

3 days ago
·
Lucy Samson
Dk Nchimbi aikosoa “No reform no election” asema hakuna wa kuzuia uchaguzi

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
Riba ya benki kuu Tanzania yabakia 6% kwa mara ya nne mfululizo