Jinsi ya kudhibiti nywele kupotea kichwani katika umri mdogo

March 31, 2021 6:14 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuepukana na vifaa vya moto kichwani ikiwemo pasi za nywele.
  • Pia kuwa makini na mitindo ya nywele ambayo unachagua.

Dar es Salaam. Kupata uwalaza au kipara siyo jambo geni wala jambo la ajabu kwa watu ambao umri wao umeenda. Licha ya kuwa ni kitu cha kawaida kwa wanaume, baadhi ya wanawake pia hufikiwa na hali hiyo.

Tuvuti ya afya ya Healthline, imeandika kuwa, asilimia 50 ya wanawake wanapata uwalaza pale umri wao unapoenda huku wanaume wengi (asilimia 85) wakipata uwalaza pale wanapoingia miaka ya 50. 

Hata hivyo, healthline imesema lipo kundi la watu ambao wanapata uwalaza pale wanapoingia miaka yao ya 20 na hiyo husababishwa na mfumo wa vinasaba (DNA), mitindo ya kusuka nywele na msongo wa mawazo.

Ili kuepukana na changamoto hiyo, tazama video hii kujifunza.

                   

/
No matches found for this filter
26 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
26 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV

JINSI WAHAMIAJI HARAMU WANAVYOONGEZEKA TANZANIA

JINSI WAHAMIAJI HARAMU WANAVYOONGEZEKA TANZANIA

Nukta TV

VIJANA WA TANZANIA KUNUFAIKA NA UCHUMI WA KIDIGITALI

VIJANA WA TANZANIA KUNUFAIKA NA UCHUMI WA KIDIGITALI

Nukta TV