Mbinu za kudhibiti mafamba ya chanjo ya Covid-19 kwa njia ya WhatsApp

June 17, 2021 11:56 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuepuka kusambaza ujumbe ambao hauna uhakika nao.
  • Pia kuepuka makundi sogozi ambayo yanakawaida ya kutuma habari za uongo.

Dar es Salaam. Kwa kuwa WhatsApp ni sehemu ya maisha ya watumiaji wa simu janja, mtandao huo pia umekuwa ni mojawapo wa nyenzo kuu za mawasiliano na utoaji wa taarifa kwa wengi.

Mtandao huo unaoruhusu mawasiliano binafsi na ya vikundi umekuwa ni mtandao muhimu kwa ajili ya kuwasiliana.

Hata hivyo, baadhi ya wapotoshaji hutumia WhatsApp kupotosha kwa kutuma habari zisizo na ukweli zikiwemo habari kuhusiana na chanjo za ugonjwa wa Corona.

Miongoni mwa habari hizo ni madhara na video za kuzua taharuki zinazohusiana na chanjo ya Corona na picha za kutishia watu zinazohusiana na ugonjwa wa Covid-19.

Unawezaje kuzuia usambaaji wa habari hizo (mafamba) zenye madhara kwa watu unaowasiliana nao? Tazama video hii kuepuka kuingia “mkenge”.

                         

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV