Dhana potofu za kuepukwa baada ya kupata chanjo ya Corona

July 5, 2021 12:25 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kufikiri kuwa kupata chanjo ndiyo mwisho wa kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
  • Baada ya chanjo endelea kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono na kuvaa barakoa.

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanafikiri wakipata chanjo ya Corona hawatakiwi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

Wanafikiri ndiyo mwisho wa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa na ndiyo mwanzo wa kuanza kukusanyika kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hakuna chanjo ya Corona ambayo imetolewa na kuthibitishwa kufanya kazi kwa asilimia 100 kwa watu waliopata chanjo hiyo.

Ni sawa na kusema haujahakikishiwa kuwa usipochukua tahadhari dhidi ya Corona kisa umepata chanjo, hautaupata ugonjwa huo bali utakuwa katika upande salama zaidi kuliko ambaye hajapata chanjo kabisa. 

Licha ya kupata chanjo dhidi ya Corona, WHO inashauri kuendelea kuchukua tahadhari kwa kufuata kanuni za afya zilizotolewa dhidi ya ugonjwa huo unaoendelea kusumbua watu duniani.

Jifunze zaidi kwa kutazama video hii:

                        

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV