Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Dar es Salaam

August 13, 2021 7:38 am ยท Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama uko katika Mkoa wa Dar es Salaam na una sifa za kupata chanjo ya Corona, Serikali imeweka vituo 28 katika Halmashauri zote tano za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.

Kumbuka chanjo husaidia kumkinga mtu na maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW