Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Dar es Salaam
August 13, 2021 7:38 am ยท
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kama uko katika Mkoa wa Dar es Salaam na una sifa za kupata chanjo ya Corona, Serikali imeweka vituo 28 katika Halmashauri zote tano za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.
Kumbuka chanjo husaidia kumkinga mtu na maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Latest
7 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
