Umuhimu wa chanjo ya Uviko-19 kwa walemavu
October 25, 2021 1:15 pm ·
Herimina
Dar es salaam. Kutokana na changamoto mbalimbali wanazopitia walemavu, zinawaweka katika hatari kubwa ya kuambukizwa ugonjwa wa Corona (Uviko-19) ni muhimu kuwapa kipaumbele katika utoaji wa chanjo ya ugonjwa huo.
Changamoto hizo ni pamoja na ugumu wa kupata taarifa kuhusu Uviko-19 hasa kwa walemavu wa macho na masikio.
Vile vile ugumu wa kujitenga na watu wengine hasa kwa walemavu wanaoishi katika uwingi wa watu na wale ambao wanaihitaji wasaidizi.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
