Infografia : Mazingira magumu yanavyohatarisha maisha ya wanafunzi Maswa

January 27, 2022 7:31 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wanafunzi 7,788 wa shule za msingi katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wanaishi katika mazingira magumu, jambo linalowaweka katika hatari ya kutozifikia ndoto zao ikiwemo elimu.

Kwa mujibu wa takwimu muhimu za mwaka 2020, katika idadi hiyo, asilimia 94 ambayo ni sawa na wanafunzi 7282 wanatokea katika familia zenye kipato cha chini. 

Hali hiyo inasababisha wanafunzi hawa kupata kwa shida au kukosa mahitaji muhimu ya shule ikiwemo vitabu vya kujisomea pamoja na madaftari.

​Jambo la hatari zaidi ni kuwa wanafunzi 443 wilayani humo wanaishi au kupita katika maeneo ya wanyamapori, hivyo kuwa hatarini kushambuliwa au kuuwawa na wanyama wakali.

 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV