Mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji Maswa
February 7, 2022 6:37 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2021/22 Wizara ya Maji ilitenga Sh5.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji ikiwemo vituo 16 vya kuchotea maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Kukamilika kwa miradi hiyo kutawanufaisha wananchi 109,727 wa halmashauri hiyo na hivyo kuwapunguzia tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama yanayohitajika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Latest
2 hours ago
·
Lucy Samson
Hizi ndio nchi 5 zenye idadi kubwa ya Simba Afrika
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Disemba 5, 2025
22 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano wa mabunge duniani 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
DCEA yataifisha mali za Sh 3.3 bilioni za watuhumiwa biashara dawa za kulevya