Mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji Maswa
February 7, 2022 6:37 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2021/22 Wizara ya Maji ilitenga Sh5.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji ikiwemo vituo 16 vya kuchotea maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Kukamilika kwa miradi hiyo kutawanufaisha wananchi 109,727 wa halmashauri hiyo na hivyo kuwapunguzia tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama yanayohitajika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Latest

2 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chadema: Lissu amehamishiwa ukonga

3 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la magereza lakanusha kutoa taarifa ya alipo Tundu Lissu

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Tanzania kujibu mapigo Malawi, Afrika Kusini kuzuia mazao kuingia nchini kwao