Wananchi wanavyoweza kuwasimamia viongozi wao wa kijiji

February 16, 2022 8:21 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwaondoa madarakani viongozi wa kijiji/mtaa ambao si waadilifu.

Dar es Salaam. Katika majukumu ya kijiji/mtaa wananchi wanapaswa kufahamu kuwa wana wajibu wa kuwasimamia viongozi wao katika ngazi hiyo ili kupata maendeleo yanayokusudiwa.

Usimamizi wa wananchi kwa viongozi hao ni pamoja na kuhakikisha wanachagua viongozi bora watakaowatumikia na kutimiza majukumu yao kiuadilifu.

Vilevile, wananchi wana wajibu wa kuhoji utendaji wa viongozi wao kupitia vikao mbalimbali vya kijiji/mtaa, na kuwaondoa madarakani viongozi wasiowajibika.

Ikiwa wananchi watawasimamia viongozi wa kutimiza majukumu yao, itasaidia kuharakisha maendeleo ya kijiji na matumizi sahihi ya rasilimali zao.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
1 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
1 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV