Wananchi wanavyoweza kuwasimamia viongozi wao wa kijiji

February 16, 2022 8:21 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwaondoa madarakani viongozi wa kijiji/mtaa ambao si waadilifu.

Dar es Salaam. Katika majukumu ya kijiji/mtaa wananchi wanapaswa kufahamu kuwa wana wajibu wa kuwasimamia viongozi wao katika ngazi hiyo ili kupata maendeleo yanayokusudiwa.

Usimamizi wa wananchi kwa viongozi hao ni pamoja na kuhakikisha wanachagua viongozi bora watakaowatumikia na kutimiza majukumu yao kiuadilifu.

Vilevile, wananchi wana wajibu wa kuhoji utendaji wa viongozi wao kupitia vikao mbalimbali vya kijiji/mtaa, na kuwaondoa madarakani viongozi wasiowajibika.

Ikiwa wananchi watawasimamia viongozi wa kutimiza majukumu yao, itasaidia kuharakisha maendeleo ya kijiji na matumizi sahihi ya rasilimali zao.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV