Hali halisi huduma za uzazi Tanzania

April 22, 2022 1:03 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania ya mwaka 2015/16, idadi ya wanaojifungulia vituo vya afya na kwa msaada wa watu wenye ujuzi inazidi kuongezeka Tanzania mwaka hadi mwaka.

Ripoti ya utafiti huo iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Zanzibar (OCGS) inaonyesha kuwa mwaka 2015/16 asilimia 63 ya watoto walizaliwa kwenye vituo vya afya ikiwa ni ongezeko kutoka asilimia 50 au nusu ya watoto waliofanyiwa utafiti mwaka 2010.

​Licha ya ongezeko hilo, changamoto inabaki kwa wajawazito wanaoishi vijijini ambao hulazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma hizo kwa sababu ya zahanati kuwa mbali na maeneo wanayoishi. 

Hali hiyo inaweza kuhatarisha afya zao na watoto.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV