Hali halisi huduma za uzazi Tanzania

April 22, 2022 1:03 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania ya mwaka 2015/16, idadi ya wanaojifungulia vituo vya afya na kwa msaada wa watu wenye ujuzi inazidi kuongezeka Tanzania mwaka hadi mwaka.

Ripoti ya utafiti huo iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Zanzibar (OCGS) inaonyesha kuwa mwaka 2015/16 asilimia 63 ya watoto walizaliwa kwenye vituo vya afya ikiwa ni ongezeko kutoka asilimia 50 au nusu ya watoto waliofanyiwa utafiti mwaka 2010.

​Licha ya ongezeko hilo, changamoto inabaki kwa wajawazito wanaoishi vijijini ambao hulazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma hizo kwa sababu ya zahanati kuwa mbali na maeneo wanayoishi. 

Hali hiyo inaweza kuhatarisha afya zao na watoto.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV