Serikali yamwaga ajira zaidi ya 21,000 za watumishi wa afya, elimu

April 12, 2023 12:04 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Rais Samia ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa kada za ualimu na afya, jambo likalosaidia kupunguza uhaba wa watumishi katika sekta hizo nyeti nchini.

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa kada za ualimu na afya, jambo likalosaidia kupunguza uhaba wa watumishi katika sekta hizo nyeti nchini. 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Angellah Kairuki katika taarifa yake iliyotolewa leo Aprili 12, 2023 amesema kati ya watumishi hao, 13,130 ni walimu wa sekondari na msingi na waliobaki ni watumishi wa afya watakaofanya kazi katika hospitali za halmashauri, vituo vya afya na zahanati.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV