Fanya haya kuepuka kufungiwa akaunti zako za mitandao kijamii

January 14, 2021 10:14 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kutokana na taharuki, kutaka kuwalinda uwapendao na hata kuwa msamalia mwema, huenda umewahi kutaka kutuma ujumbe unaohusu Corona ambao hauna uhakika nao. 

Usilolijua ni kuwa, kwa sasa mitandoa ya kijamii ikiwemo Instagram, Youtube na Facebook imeweka sheria kali dhidi ya kusambaza taarifa za uzushi kuhusu ugonjwa huo.

Mathalan, mtandao wa kupakia habari video wa YouTube hutoa onyo pale mtu anapokuwa anataka kutuma maudhui yanayohusiana na ugonjwa wa Corona na kisha kutoa adhabu ya kufungiwa kwa wiki moja au zaidi ikiwa atajaribu kuweka maudhui yasiyofaa.

Ili kuepukana na kufungiwa mitandao yako ya kijamii, unahitaji kuwa makini kwa kuthibitisha habari zako kwa kutumia zana za kidijitali zikiwemo TinEye na Google reverse Image.

Kufahamu zaidi, tazama video hii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS WA KENYA WILLIAM RUTO ANALIHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA

🔴LIVE: RAIS WA KENYA WILLIAM RUTO ANALIHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS RUTO WA KENYA, IKULU DAR ES SALAAM

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS RUTO WA KENYA, IKULU DAR ES SALAAM

Nukta TV

Namna Rais Samia alivyompokea Rais wa Kenya William Ruto, Ikulu, Dar es Salaam

Namna Rais Samia alivyompokea Rais wa Kenya William Ruto, Ikulu, Dar es Salaam

Nukta TV