Zingatia haya unapofanya manunuzi sikukuu ya Pasaka

April 16, 2022 8:33 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa makini na fedha unayoitumia na kufaham vitu ambavyo familia yako inapenda.

Dar es Salaam. Ni msimu mwingine wa sikukuu na kama ilivyo kawaida ya familia za Kitanzania, kufanya mahemezi ya vyakula, mavazi na vinywaji ni muhimu katika sikukuu hizi.

Hata hivyo, katika kufanya manunuzi hayo, baadhi hujikuta wakitumia fedha nyingi na hivyo kubaki na siku zaidi ya 20 wakiwa hawana pesa kama kipato chao kinategemea mwisho wa mwezi.

Ili kuepukana na changamoto hiyo, tazama video hii kujifunza zaidi na usiache kumtumia mwenzio ili wewe na umpendaye mbaki salama kiuchumi.

               

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV