Zingatia haya unapofanya manunuzi sikukuu ya Pasaka
April 16, 2022 8:33 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa makini na fedha unayoitumia na kufaham vitu ambavyo familia yako inapenda.
Dar es Salaam. Ni msimu mwingine wa sikukuu na kama ilivyo kawaida ya familia za Kitanzania, kufanya mahemezi ya vyakula, mavazi na vinywaji ni muhimu katika sikukuu hizi.
Hata hivyo, katika kufanya manunuzi hayo, baadhi hujikuta wakitumia fedha nyingi na hivyo kubaki na siku zaidi ya 20 wakiwa hawana pesa kama kipato chao kinategemea mwisho wa mwezi.
Ili kuepukana na changamoto hiyo, tazama video hii kujifunza zaidi na usiache kumtumia mwenzio ili wewe na umpendaye mbaki salama kiuchumi.
       Â
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026