Zingatia haya unapofanya manunuzi sikukuu ya Pasaka

April 16, 2022 8:33 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa makini na fedha unayoitumia na kufaham vitu ambavyo familia yako inapenda.

Dar es Salaam. Ni msimu mwingine wa sikukuu na kama ilivyo kawaida ya familia za Kitanzania, kufanya mahemezi ya vyakula, mavazi na vinywaji ni muhimu katika sikukuu hizi.

Hata hivyo, katika kufanya manunuzi hayo, baadhi hujikuta wakitumia fedha nyingi na hivyo kubaki na siku zaidi ya 20 wakiwa hawana pesa kama kipato chao kinategemea mwisho wa mwezi.

Ili kuepukana na changamoto hiyo, tazama video hii kujifunza zaidi na usiache kumtumia mwenzio ili wewe na umpendaye mbaki salama kiuchumi.

               

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
6 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
6 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
NISHATI

NISHATI

Nukta TV

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Nukta TV

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Nukta TV