Zifahamu kanuni tano za chakula salama kujikinga na Corona

December 10, 2020 8:59 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya watu wakawa na mashaka kuhusu usalama wa chakula wanachotumia nyumbani katika kipindi cha janga la Corona ikiwemo kupata magonjwa mengine. 

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa mapendekezo ya kuzingatia ili kuwa na chakula salama hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa huo wa homa ya mapafu.

WHO imeeleza kuwa usafi wa chakula ni muhimu kipindi hiki na kinatakiwa kipikwe vizuri katika nyuzi joto 70 ili kuua vijijidu vya magonjwa.

Mazingira ya uandaaji chakula nayo yanatakiwa kuwa safi ili kuhakikisha hayasababishi maambukizi ya COVID-19. 

Tazama video hii kuzifahamu kwa undani unavyoweza kujikinga na Corona wakati ukiandaa chakula nyumbani kwako.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV