Zifahamu kanuni tano za chakula salama kujikinga na Corona

December 10, 2020 8:59 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya watu wakawa na mashaka kuhusu usalama wa chakula wanachotumia nyumbani katika kipindi cha janga la Corona ikiwemo kupata magonjwa mengine. 

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa mapendekezo ya kuzingatia ili kuwa na chakula salama hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa huo wa homa ya mapafu.

WHO imeeleza kuwa usafi wa chakula ni muhimu kipindi hiki na kinatakiwa kipikwe vizuri katika nyuzi joto 70 ili kuua vijijidu vya magonjwa.

Mazingira ya uandaaji chakula nayo yanatakiwa kuwa safi ili kuhakikisha hayasababishi maambukizi ya COVID-19. 

Tazama video hii kuzifahamu kwa undani unavyoweza kujikinga na Corona wakati ukiandaa chakula nyumbani kwako.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV