Yakushangaza shule za mwisho kitaifa matokeo kidato cha nne 2019

January 30, 2020 4:19 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Shule saba katika orodha hiyo zinatoka Zanzibar.
  • Wanafunzi watatu tu walioshirikia mtihani kutoka shule hizo ndiyo walipata daraja la kwanza.
  • Shule ya Kipoke ya mkoani Mbeya imeporomoka kwa kasi kutoka nafasi ya 737 iliyoshika mwaka 2018 hadi nafasi ya mwisho kitaifa mwaka jana.

Dar es Salaam. Matokeo yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) hivi karibu yanaonyesha shule za Zanzibar zimeshindwa kujinasua katika orodha ya shule 10 za mwisho kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2019, baada ya kuingiza shule saba katika orodha hiyo.

Wanafunzi 1,248 walifanya mtihani huo kutoka katika shule hizo 10 lakini ni  wanafunzi watatu tu ndiyo walipata daraja la kwanza na wote kutoka katika shule mmoja ambayo ilishika mkia kitaifa  ya Kipoke.

Jambo lingine la kushangaza katika orodha hiyo ya shule ya mwisho kitaifa kutoka mkoani Mbeya  imeporomoka kwa kasi kutoka nafasi ya 737 iliyoshika mwaka 2018 hadi nafasi ya mwisho kitaifa mwaka jana.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
21 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

NMB BANK YATANGAZA GAWIO LA SH610 KWA HISA 2025

NMB BANK YATANGAZA GAWIO LA SH610 KWA HISA 2025

Nukta TV

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV