Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 7, 2026

January 7, 2026 11:14 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Hivi ndivyo viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vilivyotolewa na Benki zaCRDB na NMB kwa matumizi ya leo Januari 7, 2026.

viwango hivi hubadilika kila siku kulingana na mwenendo wa soko la fedha, na vina umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara, wawekezaji na walipakodi, hasa katika kufanya malipo ya ada, kodi pamoja na ununuzi na uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi.

Kupitia viwango hivi vya kubadilisha fedha, watumiaji wa sarafu za kigeni hupata mwongozo sahihi wa kupanga bajeti, kufanya manunuzi na kuendesha shughuli zao za kifedha kwa ufanisi zaidi

Kwa siku ya leo Dola ya Marekani kupitia Benki ya CRDB imeuzwa kwa bei ya reja reja ya Sh2,440 na kunuuliwa kwa Sh2,520.

Bei hiyo inayotumika leo imeongezeka kwa Sh10 kutoka bei ya kuuza na kunua Dola hiyo ya Marekani iliyotumika Januari Mosi mwaka huu.

Kwa upande wa NMB thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani imeongezeka kwa Sh10  kutoka bei ya kuuza na kunua Dola hiyo ya Marekani iliyotumika Januari Mosi mwaka huu.

Hata hivyo, fedha nyingine kutoka mataifa mengine duniani zimeendelea kuimarika au kushuka kama inavyoonekana ikiashiria mabadiliko ya nguvu ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya sarafu za kimataifa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
21 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Nukta TV

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

Nukta TV