Viwango vya kubadili fedha Januari 13,2025
January 13, 2025 11:25 am ·
Kelvin Makwinya
Dola ya Marekani imezidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania kulinganisha na wiki iliyopita. Katika soko rejareja Dola sasa inauzwa kwa Sh2,449 na kununuliwa kwa Sh2,545 katika Benki ya CRDB. Katika Benki ya NMB, Dola inauzwa kwa Sh2,544 na kununuliwa kwa Sh2,449.
Kuimarika kwa Dola ya Marekani kunazidi kuwa kitendawili kwa wafanyabiashara wanao agiza bidhaa kutoka nje. Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026