Vipi, tukuletee Konyagi ama Chibuku?

January 23, 2020 12:45 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ukiachana na bia, vilevi vingine vinavyozalishwa kwa wingi viwandani #Tanzania ni Konyagi na Chibuku. Takwimu rasmi zinaonyesha bia lita 412.6 milioni zilizalishwa mwaka 2018 zikifuatiwa na Konyagi.

Uzalishaji wa bia mwaka huo, kwa mujibu wa Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka 2018, ulikuwa ni mara nane zaidi ya lit azote za Konyagi na Chibuku. Chibuku ni moja vilevi vya kiwandani vyenye bei nafuu nchini wakati Konyagi ikisifika kwa kuwa kilevi imara zaidi.

Ukiachana na bia, ambazo zinatengenezwa na kampuni mbalimbali, iwapo utaangalia takwimu hizo kwa kina mwenendo katika baadhi ya miaka mitano iliyopita, Konyagi na Chibuku ni kama zilikuwa zinachuana katika kiwango cha uzalishaji.

Ikumbukwe kuwa vinywaji vyote hivyo viwili vinatoka katika familia moja ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.