Vipi, tukuletee Konyagi ama Chibuku?

January 23, 2020 12:45 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ukiachana na bia, vilevi vingine vinavyozalishwa kwa wingi viwandani #Tanzania ni Konyagi na Chibuku. Takwimu rasmi zinaonyesha bia lita 412.6 milioni zilizalishwa mwaka 2018 zikifuatiwa na Konyagi.

Uzalishaji wa bia mwaka huo, kwa mujibu wa Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka 2018, ulikuwa ni mara nane zaidi ya lit azote za Konyagi na Chibuku. Chibuku ni moja vilevi vya kiwandani vyenye bei nafuu nchini wakati Konyagi ikisifika kwa kuwa kilevi imara zaidi.

Ukiachana na bia, ambazo zinatengenezwa na kampuni mbalimbali, iwapo utaangalia takwimu hizo kwa kina mwenendo katika baadhi ya miaka mitano iliyopita, Konyagi na Chibuku ni kama zilikuwa zinachuana katika kiwango cha uzalishaji.

Ikumbukwe kuwa vinywaji vyote hivyo viwili vinatoka katika familia moja ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
21 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

NMB BANK YATANGAZA GAWIO LA SH610 KWA HISA 2025

NMB BANK YATANGAZA GAWIO LA SH610 KWA HISA 2025

Nukta TV

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV