Vijana wageni vinara wa kuitembelea Tanzania

January 20, 2020 2:19 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Wageni vijana hao wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8

Dar es Salaam. Kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 ndiyo wanaongoza kwa kuitembelea Tanzania huku wengi wao wakitokea Marekani na Kenya. 

Kwa mujibu wa Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017), mgawanyo wa wageni kwa  makundi ya umri unaonyesha kuwa, wageni wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8 au karibu nusu ya wageni wote wakifuatiwa na wenye umri kati wa miaka 45 na 64.

Idadi kubwa ya wageni walio na umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 wanatoka Kenya na Marekani.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
26 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Elimu ya kodi mwarobaini wa wafanyabiashara kuikwepa TRA, ianzie shuleni

Elimu ya kodi mwarobaini wa wafanyabiashara kuikwepa TRA, ianzie shuleni

Nukta TV

Rais Samia: Serikali chini ya Magufuli haikutaka kuyumbishwa kukamili kwa JNHPP

Rais Samia: Serikali chini ya Magufuli haikutaka kuyumbishwa kukamili kwa JNHPP

Nukta TV

Rais Samia: Umeme wa SGR hautoingiliwa, Dodoma umeme uhakika 24/7

Rais Samia: Umeme wa SGR hautoingiliwa, Dodoma umeme uhakika 24/7

Nukta TV