Vijana wageni vinara wa kuitembelea Tanzania

January 20, 2020 2:19 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Wageni vijana hao wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8

Dar es Salaam. Kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 ndiyo wanaongoza kwa kuitembelea Tanzania huku wengi wao wakitokea Marekani na Kenya. 

Kwa mujibu wa Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017), mgawanyo wa wageni kwa  makundi ya umri unaonyesha kuwa, wageni wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8 au karibu nusu ya wageni wote wakifuatiwa na wenye umri kati wa miaka 45 na 64.

Idadi kubwa ya wageni walio na umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 wanatoka Kenya na Marekani.

/
No matches found for this filter
10 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
10 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
10 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV