Video: Zingatia haya kabla ya kutafuta nyumba ya kupanga
September 16, 2020 7:01 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na uelewa wa mazingira ya nyumba unayotaka kupanga.
- Hakikisha unazingatia gharama za kodi, ukaribu wa huduma za kijamii na usalama wako na mali zako.
Dar es Salaam. Kelele za majirani, wizi, uchafu wa mitaa na mambo mengine ni kati ya vitu vinavyoweza kukufanya usifurahie nyumba yako ya kupanga.
Kinachokufanya upate changamoto hizo ni kushindwa kuzingatia mambo muhimu mabayo unatakiwa kuyafahamu kabla ya kupata nyumba ya kupanga.
Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kodi, upatikanaji wa huduma za kijamii, usalama na ubora wa nyumba unayokwenda kupanga.
Unataka kufahamu zaidi? Tazama video hii.
Latest

18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia amtwisha zigo bosi mpya Tanesco
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaomba bajeti ya Sh476.65 2025/26

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Mei 23, 2025

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Polisi yawasaka wadukuzi baada ya kuzua taharuki mtandaoni