Video: Zingatia haya kabla ya kutafuta nyumba ya kupanga
September 16, 2020 7:01 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na uelewa wa mazingira ya nyumba unayotaka kupanga.
- Hakikisha unazingatia gharama za kodi, ukaribu wa huduma za kijamii na usalama wako na mali zako.
Dar es Salaam. Kelele za majirani, wizi, uchafu wa mitaa na mambo mengine ni kati ya vitu vinavyoweza kukufanya usifurahie nyumba yako ya kupanga.
Kinachokufanya upate changamoto hizo ni kushindwa kuzingatia mambo muhimu mabayo unatakiwa kuyafahamu kabla ya kupata nyumba ya kupanga.
Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kodi, upatikanaji wa huduma za kijamii, usalama na ubora wa nyumba unayokwenda kupanga.
Unataka kufahamu zaidi? Tazama video hii.
Latest
1 hour ago
·
Kelvin Makwinya
Dola ya Marekani yaongezeka kwa Sh5 CRDB
3 hours ago
·
Kelvin Makwinya
NMB Bank yatangaza gawio la Sh610 kwa hisa 2025
19 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania yaanika afua 10 kudhibiti Ebola
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Waandishi watatu wa Nukta Africa kuwania tuzo za EJAT 2024/2025