VIDEO: Fahamu haya kabla haujanunua “makeup”

January 13, 2021 6:44 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuzingatia melekezo yanayoambatana na bidhaa hizo.
  • Pia, unashauriwa kuongea na wataalamu ili kupata makeup inayokufaa na kuendana na wewe.

Dar es Salaam. Kama wewe ni mdau wa makeup, huenda umekutana na changamoto mbalimbali baada ya kununua bidhaa hizo na kuishia kutokuzitumia tena.

Kwa ambao ni wageni wa msamiati wa makeup, kukuondoa gizani, makeup ni bidhaa za urembo ambazo hutumika na wanawake kwa ajili ya kuwa mwonekano mzuri na mvuto. 

Bidhaa hizo hujumuisha rangi za mdomoni (lipstick), na rangi mbalimbali za usoni zikiwemo “powder” na “foundation”.

Hata hivyo, kuepukana na kufanya makosa wakati wa kununua bidhaa hizo, ni muhimu kuzingatia baadhi ya mambo yakiwemo kuifahamu rangi halisi ya ngozi yako, kusoma vizuri maelekezo ya kutumia bidhaa hizo na kununua bidhaa halisi (original). 

Uzingatie nini kingine, tazama video hii:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW