Ufanye nini unapokuwa katika mahusiano yanayokupa msongo wa mawazo?

April 17, 2021 7:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutatua changamoto mnazopitia kwa kupata ushauri wa kitaalamu au kuongea na viongozi wa dini.

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanapopitia kipindi kigumu katika mahusiani na wenza wao, kutatua changamoto hizo huwaza kutengena au kuachana kabisa.

Wasichokijua ni kuwa hakuna mahusiano yasiyo na changamoto lakini inategemea namna mnavyoshughulikia tofauti zenu na kisha kusonga mbele. 

Kabla ya kuchukua hatua ya kumuacha umpendaye, tafakari maana huko utakakwenda utakutana na changamoto pia. Tafakari kwa kina tatizo liko wapi na jinsi ya kulitatua.

Tazama video hii kufahamu zaidi:

                      

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV