Ufanye nini unapokuwa katika mahusiano yanayokupa msongo wa mawazo?

April 17, 2021 7:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutatua changamoto mnazopitia kwa kupata ushauri wa kitaalamu au kuongea na viongozi wa dini.

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanapopitia kipindi kigumu katika mahusiani na wenza wao, kutatua changamoto hizo huwaza kutengena au kuachana kabisa.

Wasichokijua ni kuwa hakuna mahusiano yasiyo na changamoto lakini inategemea namna mnavyoshughulikia tofauti zenu na kisha kusonga mbele. 

Kabla ya kuchukua hatua ya kumuacha umpendaye, tafakari maana huko utakakwenda utakutana na changamoto pia. Tafakari kwa kina tatizo liko wapi na jinsi ya kulitatua.

Tazama video hii kufahamu zaidi:

                      

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV