Ufanye nini unapokuwa katika mahusiano yanayokupa msongo wa mawazo?
April 17, 2021 7:19 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kutatua changamoto mnazopitia kwa kupata ushauri wa kitaalamu au kuongea na viongozi wa dini.
Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanapopitia kipindi kigumu katika mahusiani na wenza wao, kutatua changamoto hizo huwaza kutengena au kuachana kabisa.
Wasichokijua ni kuwa hakuna mahusiano yasiyo na changamoto lakini inategemea namna mnavyoshughulikia tofauti zenu na kisha kusonga mbele.
Kabla ya kuchukua hatua ya kumuacha umpendaye, tafakari maana huko utakakwenda utakutana na changamoto pia. Tafakari kwa kina tatizo liko wapi na jinsi ya kulitatua.
Tazama video hii kufahamu zaidi:
Latest
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ufahamu ugonjwa wa hantavirus
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili