Ufanye nini unapokuwa katika mahusiano yanayokupa msongo wa mawazo?
April 17, 2021 7:19 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kutatua changamoto mnazopitia kwa kupata ushauri wa kitaalamu au kuongea na viongozi wa dini.
Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanapopitia kipindi kigumu katika mahusiani na wenza wao, kutatua changamoto hizo huwaza kutengena au kuachana kabisa.
Wasichokijua ni kuwa hakuna mahusiano yasiyo na changamoto lakini inategemea namna mnavyoshughulikia tofauti zenu na kisha kusonga mbele.
Kabla ya kuchukua hatua ya kumuacha umpendaye, tafakari maana huko utakakwenda utakutana na changamoto pia. Tafakari kwa kina tatizo liko wapi na jinsi ya kulitatua.
Tazama video hii kufahamu zaidi:
Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka