Teknolojia ya kilimo inayohimili mabadiliko ya tabianchi
February 21, 2022 9:26 am ·
Rodgers Raphael
Dar es Salaam. Licha ya kilimo kuwa sehemu muhimu ya Watanzania kujipatia kipato, mabadiliko ya tabianchi yamekuwa ni changamoto kubwa inayowabili wakulima.
Mvua zisizotabirika au mafuriko ni miongoni mwa majanga ambayo yamekuwa yakihatarisha uhai wa kilimo.
Hata hivyo, zipo teknolojia ambazo zikitumiwa na wakulima zinaweza kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na hivyo kuwawezesha kunufaika na kilimo.

Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
