Teknolojia ya kilimo inayohimili mabadiliko ya tabianchi

February 21, 2022 9:26 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Licha ya kilimo kuwa sehemu muhimu ya Watanzania kujipatia kipato, mabadiliko ya tabianchi yamekuwa ni changamoto kubwa inayowabili wakulima.

​Mvua zisizotabirika au mafuriko ni miongoni mwa majanga ambayo yamekuwa yakihatarisha uhai wa kilimo. 

Hata hivyo, zipo teknolojia ambazo zikitumiwa na wakulima zinaweza kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na hivyo kuwawezesha kunufaika na kilimo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Nukta TV

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Nukta TV

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

Nukta TV