Safari bado ndefu upatikanaji umeme duniani

April 6, 2022 6:16 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Licha ya umeme kutajwa kama nishati muhimu ya maendeleo duniani, maelfu ya watu bado wako gizani, jambo linalowakosesha fursa za kujikwamua kimaisha. 

Ukosefu wa umeme pia unapunguza kasi ya nchi zinazoendelea duniani kuwaondolea wananchi wao umaskini.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW