Safari bado ndefu upatikanaji umeme duniani
April 6, 2022 6:16 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya umeme kutajwa kama nishati muhimu ya maendeleo duniani, maelfu ya watu bado wako gizani, jambo linalowakosesha fursa za kujikwamua kimaisha.
Ukosefu wa umeme pia unapunguza kasi ya nchi zinazoendelea duniani kuwaondolea wananchi wao umaskini.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka