Robo ya bajeti ya 2020-21 kulipa deni la Serikali

June 13, 2020 1:32 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Sh10.48 trilioni sawa na theluthi moja au robo zitaelekezwa katika kulipa deni la Serikali.

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kutenga bajeti ya Sh34.88 kwa mwaka fedha wa 2020/21, robo ya bajeti hiyo itatumika kulipa deni la Serikali. 

Katika mgawanyo wa matumizi ya bajeti hiyo ambayo utekelezaji wake utaanza Julai 1 mwaka huu, Sh10.48 trilioni sawa na theluthi moja au robo zitaelekezwa katika kulipa deni la Serikali. 

Wakati deni la Serikali likitengewa asilimia 25 ya bajeti hiyo, shughuli za maendeleo ndiyo zimetengewa kiasi kikubwa cha fedha cha Sh12.78 trilioni, ambayo ni sawa na asilimia 37 ya bajeti yote.

Kati ya fedha hizo za maendeleo, Sh2.10 trilioni ni kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa reli kwa kiwango cha Standard Gauge; Sh1.60 trilioni ni kwa ajili ya mradi wa kufua umeme Mto Rufiji; Sh823.7 bilioni ni kwa ajili ya mifuko ya reli, maji na Wakala wa Nishati Vijijini (REA); Sh490 bilioni ni kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu; na Sh298.1 bilioni kwa ajili ya elimumsingi bila ada.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV