Zifahamu kanuni tano za chakula salama kujikinga na Corona
December 10, 2020 8:59 am ·
Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
Dar es Salaam. Huenda baadhi ya watu wakawa na mashaka kuhusu usalama wa chakula wanachotumia nyumbani katika kipindi cha janga la Corona ikiwemo kupata magonjwa mengine.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa mapendekezo ya kuzingatia ili kuwa na chakula salama hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa huo wa homa ya mapafu.
WHO imeeleza kuwa usafi wa chakula ni muhimu kipindi hiki na kinatakiwa kipikwe vizuri katika nyuzi joto 70 ili kuua vijijidu vya magonjwa.
Mazingira ya uandaaji chakula nayo yanatakiwa kuwa safi ili kuhakikisha hayasababishi maambukizi ya COVID-19.
Tazama video hii kuzifahamu kwa undani unavyoweza kujikinga na Corona wakati ukiandaa chakula nyumbani kwako.
Latest
2 days ago
·
Yuster Massawe
Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
2 days ago
·
Davis Matambo
Rais Samia aitaka tume kuleta viwango halali vya kodi Tanzania
2 days ago
·
Yuster Massawe
Pedi za kufua zinavyosaidia kupunguza uchafuzi mazingira
3 days ago
·
Fatuma Hussein
TMA yatahadharisha upepo mkali Pwani, Ziwa Nyasa