Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021
February 23, 2022 7:43 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.
Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.

Latest
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wasichana wang’ara matokeo darasa la nne, kidato cha pili
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Necta yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili ufaulu waongezeka kiduchu
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Matokeo darasa la nne, kidato cha pili haya hapa
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Panda shuka za Paul Makonda katika siasa